Vermont
Vermont |
|||
---|---|---|---|
Jimbo | |||
![]() |
![]() |
||
Kauli Mbiu "Freedom and Unity" "Stella quarta decima fulgeat" |
|||
![]() | |||
Nchi | Marekani | ||
Mji Mkuu | Montpelier | ||
Jiji kubwa | Burlington | ||
Ilijiunga | Machi 4, 1791; Miaka 233 iliyopita (ya 14) | ||
Lugha Zinazongumuzwa |
|
||
Utaifa | Vermonter (en) | ||
Serikali | |||
Gavana | Phil Scott (R) | ||
Naibu gavana | John S. Rodgers (R) | ||
Eneo | |||
Jumla | 24923 km² | ||
Ardhi | 23957 km² | ||
Maji | 982 (3.94%) | ||
Idadi ya Watu | |||
Kadirio | ▲ 648,498 | ||
Pato la Taifa (2024) | |||
Jumla | ▲ $45 4 Bilioni (ya 51) | ||
Kwa kila mtu | ▲ $70,131 | ||
HDI (2022) | 0.945 (ya 8) Maendeleo ya Juu Sana |
||
Mapato ya Kati ya Kaya (2023) |
$81,200 (16) | ||
Tovuti 🔗ca.gov |
Vermont ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mji mkuu ni Montpelier na mji mkubwa ni Burlington. Impekana na Kanada (Quebec), New Hampshire, Massachusetts na New York. Jimbo lina wakazi wapatao 621,270 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 24,923.

Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]- (Kiingereza) State of Vermont Official Website
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Vermont kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |